MISHE-BOY

Flambeau De l'Est imeondolewa kwenye mashindishano ya ligi ya mabingwa barani Afrika


ni hapo tarehe tisa mwezi wa tatu mwaka wa 2014, ndipo klabu mbili ya Burundi imecheza mchezo wao wa marudio dhidi ya klabu kutoka Cameroun kwenye mashindishano ya ligi ya mabingwa Barani Afrika, mechi imamalizika kwa mabao tano bila jibu ya Flambeau de l'Est(5-0). mechi ya awali nyumbani Bujumbura Burundi, klabu ya flambeau imefanya vizuri kwa kupata ushindi wa bao moja bila dhidi ya klabu kutoka Cameroun, Cotonsport.
kwa mtazamo na habari kutoka Cameroun, klabu ya hapa nchini imelalamika sana mapokezi mbovu sana ya uko nchini Cameroun, kwamba wamepewa kwanza uwanja wamazowezi kwa ma saa na fasi ya kula ikawa tatizo na gari yakuwatembeza ilikua shida sana. ndipo kamati tendaji ya soka hapa nchini Burundi lazma wapeleke malalamiko yao kwenye CAF, kwajili hii mtindo wakuinyanyasa sana ma klabu ya Burundi vibaya wakati ikiwa nchi za nje na sio mara ya kwanza tumekwisha shuhudia mara kazaa klabu zetu zikienda nje ya nchi kwa michuano ya kimataifa.
ContonSport
 upande wa DRc Congo, upande ya kombe ya shirikisho (confederation), klabu mbili Don Bosco na MK, zimeaga mashindishano, baada ya Don Bosco kupigwa mjini Bamako na klabu ya Djoliba AC kwa ushindi wa Djoliba AC (1-0), kwenye mechi ya awali klabu ya Don Bosco mjini Lubumbashi imepata ushindi wa bao 2 kwa 2. Upande wa MK imeondolewa na klabu ya Misri kwa mikwaju wa ma penalty (3-4).
Don Bosco
upande wa ligi ya mabingwa, Tp Mazembe na Vclub imefuzo kwa muzunguhuka wa nane, Tp mazembe imeifunga klabu ya Astres de Douala ya Cameroun kwa bao tatu bila(3-0).Vclub imeiondowa klabu ya Dynamos FC ya Zimbabwe kwa bao moja bila(1-0).na leo tarehe 10/03/2014 hii kuna mechi moja itakao chezeka kati ya EsperanceTunis (Tun) vs Go Mahia (Ken).

 hii hapa matokeo rasmi ya mchezo 


   09.03. 18:00Al-Hilal (Sud) Stade Malien (Mli)2 : 0

09.03. 17:00Al Ahly (Egy) Young Africans (Tan)2 : 0

09.03. 16:30Sewe Sport (Civ) Barrack Young Controllers (Lib)1 : 0

09.03. 15:30Cotonsport (Cmr) Flambeau de l’Est (Bur)5 : 0

09.03. 15:30Mazembe (Drc) Les Astres (Cmr)3 : 0

09.03. 15:00Sfaxien (Tun) Dedebit (Eth)2 : 0

09.03. 14:30Al Ahly Benghazi (Lib) Berekum Chelsea (Gha)2 : 0

09.03. 14:30Vita Club (Drc) Dynamos (Zim)1 : 0

08.03. 20:00Raja Casablanca (Mar)Horoya (Gui)  1 : 1

08.03. 18:00Real Bamako (Mli) Enyimba (Nig)0 : 1

08.03. 17:00ASFA Yennega (Bur)Setif (Alg) 0 : 0

08.03. 17:00Liga Muculmana (Moz)Kaizer (Rsa) 0 : 3

08.03. 17:00Primeiro de Agosto (Ang)Leopard (Con) 2 : 0

08.03. 14:00Kampala City (Uga)Nkana (Zam) 1 : 2










































































































































































































































































Hakuna maoni