MISHE-BOY

Sport | Ratiba kamili ya wiki ya pili ya Kombe la Kimataifa la Afrika CAN2019

Mechi za kuwania kufuzu Kombe la kimataifa la Afrika Can2019, imeingia katika wiki yake ya pili kuanza Septrmba, 07.

Timu ya taifa Burundi inajipanga vizuri baada ya kuwa na imani kubwa ya kumpata mchezaji wao anaecheza Uingereza, Saido Berahino baada ya kukubaliwa na FIFA kuchezea nchi yake hivi karibuni.
Tayari Burundi ilitangaza orodha ya wachezaji watakaoumana na Gabon Septemba, 08 mjini Free Town (Libre Ville).

Septemba, 07, 2019:

Maroc 🇲🇦 - Malawi 🇲🇼

 Septemba, 08, 2019 :

Comores 🇰🇲 -Cameroun 🇨🇲

Seychelles 🇸🇨 - Nigéria 🇳🇬

Kenya 🇰🇪 - Ghana 🇬🇭

Ouganda 🇺🇬 - Tanzanie 🇹🇿

Afrique du Sud 🇿🇦 - Libye 🇱🇾

Namibie 🇳🇦 - Zambie 🇿🇲

GABON 🇬🇦 - Burundi 🇧🇮 

Guinée Équatoriale 🇬🇶 - Soudan 🇸🇩

Mozambique 🇲🇿 - Guinée-Bissau 🇬🇼

Gambie 🇬🇲 - Algérie 🇩🇿

Mauritanie 🇲🇷 - Burkina Faso 🇧🇫

Égypte 🇪🇬 - Niger 🇳🇪

Madagascar 🇲🇬 - Sénégal 🇸🇳


Septembre, 09, 2018 :

Soudan du Sud 🇸🇸 - Mali 🇲🇱

Swaziland 🇸🇿 - Tunisie 🇹🇳

Éthiopie 🇪🇹 - Sierra Leone 🇸🇱

Lesotho 🇱🇸 - Cap-Vert 🇨🇻

Rwanda 🇷🇼 - Côte d’Ivoire 🇨🇮

Congo - Zimbabwe 🇿🇼

 Angola 🇦🇴 - Botswana 🇧🇼

Togo 🇹🇬 - Bénin 🇧🇯

Libéria 🇱🇷 - République Démocratique du congo 🇨🇩

Guinée 🇬🇳 - République Centrafricaine 🇨🇫

Hakuna maoni