MISHE-BOY

Show | Huu ndio muonekano mpya wa R Flow

Tazama muonekano mpya wa msanii wa muziki wa Buja Fleva, R Flow baada ya miaka kadhaa akiwa nje ya muziki, alitambulishwa kwa mara nyingine tena kwenye show Boda to Boda Concert pande za Lacosta Beach.

R Flow hakuwa katika orodha ya wasanii waliopangwa kuimba siku hiyo na alikuja kuhudhuria ndipo walichukuwa mda huwo kumuita  kwenye stage kutambulishwa kwa wapenzi wa muziki baada ya siku nyingi haonekani kwenye game la muziki.

Mashabiki walionekana na furaha kubwa kumuona mkali wa ''Sheba, Wanoko, ...'', hata kama aliondoka bila kuwahidi chochote.

Tazama picha chache 



Hakuna maoni