Kenya : Hamka Ukatike ndiyo jina la nyimbo mpya ya mrembo 2GB
Mwanamuziki wa kike kutoka Kenya mwenye makazi yake Dubai, 2GB anatarajia kutowa nyimbo mpya ambaye ameipa jina la Hamka Ukatike. Baada
tu ya kusaini mkataba na mtangazaji wa kituo cha radio cha Buja FM ya
nchini Burundi, Amipro ambaye ndiye atakaye kuwa msimamizi wa kazi ya
mwanamuziki huyo kutoka Kenya 2GB.
Akizungumza na Mishe Mishe, 2GB amesema kuwa nyimbo yake mpya Hamka Ukatike ni nyimbo nzuri ambayo itawafanya mashabiki wake kumkubali na kuipenda kazi yake.
Akizungumza na Mishe Mishe, 2GB amesema kuwa nyimbo yake mpya Hamka Ukatike ni nyimbo nzuri ambayo itawafanya mashabiki wake kumkubali na kuipenda kazi yake.
Post a Comment