MISHE-BOY

pande za Buja record: Usiniache Dede ndio nyimbo mpya ya mwanamuziki Jay-T



Mwanamuziki Juma Toti almaarufu kama Jay-t ambae anajulikana kwa nyimbo yake Lydia akishirikiana na R-Flow. Kwa habari ambao tumeinasa pande za Buja record inatufaamisha kuwa mwanamuziki Jay-T anandaa nyimbo mpya kabisa ambao itakuja kwa mtindo ambao mashabiki wake wengi wanamufaamu kwa mtindo wakisharo ila kwasasa anakuja na nyimbo inaitwa Usiniache Dede, mtindo wa r&b. kwa habari ya chini ya kapeti inasemekana nyimbo ya Jay-T ambao ameibatiza Usiniache dede ni nyimbo ambao anamzungumzia baba yake mkubwa ila ni maneno ambao inazagaa sana pande za Cibitoke, tulipo  onana na mwanamuziki mwenyewe akupenda kuwa wazi na ilo jambo kama ni nyimbo ambao amemutungia baba yake mkubwa anaye julikana kwajina la Dede.
BurundiFlava : Asww vip hali ?  kuusu nyimbo yako usiniache dede inasemekana kwamba ni nyimbo unamuimbia baba yako mkubwa ambae ni maarufu sana ?
Jay-t : www, hahahahahahaha ila naweza sema tu watu lazima waseme tu, kuusu nyimbo kwasababu kunajina la Dede nimeitumia ndani ila nawaomba wakae mkao wa kula ili wasubiri siku chache tu nyimbo itakua ewani.

Hakuna maoni