MISHE-BOY

Mchezaji wa LLB Academic Chancel Ndaye kwasasa anaanda nyimbo mpya



Chancel Ndaye AKA Gf Sebo
Mcheza mpira wa miguu anaye ichezeye klabu ya LLB Academic ya mjini Bujumbura, watu wengi wanamfahamu kwajina la Chancel Ndaye ila kwajina lakisanii ni Gf Sebo anapenda kuimba katika lugha lakifaransa, wengi wanamfaamu kwa kazi yake moja alipo shirikiana na 19th kwenye nyimbo itwao  na kwenye klabu yake ya Lydia Lydic Academic ni beki. Kw habari ambao tumenasa kwasasa ni kwamba mchezaji Chancel kwasasa anaanda nyimbo uku akishirikiana na mwanamuziki Taylor Six mzee wa Assalaam Aleykoum. Baada ya kuojiana na mwanamuziki Taylor ametufahamisha kuwa nyimbo itaitwa Follow Me ambayo itakuja kwa mtindo wa afro beat Nigerian. Kuhusu lini nyimbo itakuwa ewani, wausika wa nyimbo ambao ni GF Sebo (Chancel) na Taylor-Six, wametufaamisha kuwa kwasasa nyimbo iko studio baada ya wiki kama mbili na itategemeana na hali ya usalama wa hapa nchini hapo ndipo nyimbo itatoka na moja kwa moja wapenzi wamchezaji Chancel watakuwa na shauku ya kumusikiliza gisi anavyo imba tofauti na gisi wanavyo muona uwanjani.
Taylor Six

Hakuna maoni