MISHE-BOY

tizama wachezaji ambao wameitwa kwenye timu ya taifa Intamba Murugamba U23


Hii ndio listi kamili ya wachezaji wa Timu ya taifa Intamba Murugamba  U23  walio itwa, na wataanza mazowezi hii Jumatatu saa tisa na nusu (15h30). tuwa kumbushe kuwa ni mazowezi ya kujiandaa mechi dhidi ya timu ya taifa ya DR Congo ( RDC-Burundi)
Ma golikipa :
Mbonihankuye Innocent Madede
Arakaza Mc Arthur
Kandolo Amissi
Ndayishimiye Hussein


Ma Beki:
Issa Vidic - LLs4a
David Nshimirimana-vital'o
Muhuza Patient à athlète co
Abou- Muzinga
Samuel Ndizeye - Buja city
Alain - Buja city

Ma Alfu beki upande wa kulia
Niyonkuru Nassor- athletico
Harerimana Rashid Léon- LL s4a

Ma alfu beki upande wa Kushoto:
Kiza Fataki - LL s4a
Steve - Volontaires fc

Wachezaji wa kati:
Idi Saidi juma ballack
Nshimirimana Abassi - buja city
Akimana Tresor- athletico
Nirema Yves- inter star
Nininahazwe Fabrice Messi
Nahimana Shassir- vital'o
Milieux défensifs
Hakizimana Yussuf Lule
Francis- muzinga
Mubango Trésor-athletico
Mvuyekure Emmanuel Manou- Botswana
Nduwarugira Christophe Lucio- Chibuto
Sudy - inter star
Fabrice Sinzinkayo- Buja city
Saloum - Messager Bujumbura

Washambulizi:
Mavugo Laudit
Abdul Razzak Fiston-sofapaka
Ndayisenga Kevin Dambo-Buja city
Hakizimana Hassan - inter star
Hassan Shabani - J.A Academy Tchite .
Ma kocha : Kaze Cedric ,Ndayizeye Jimmy na Amidou Hassan . 

Hakuna maoni