MISHE-BOY

wachezaji 10 kutoka kwenyue timu ya Barcelona sasa wanasimamia kama makocha.

wachezaji 10 kutoka kwenye timu ya Barcelona tangu mwaka wa 1996-1996, sasa wanasimamia kama ma kocha. kwa sasa timu ya blaugrana inajivunia sana kuwa klabu ya kwanza ambao wamezaa makocha wengi duniani na akiwemo kocha wa PSG mfaransa Laurent Blanc.
Ikiwa muiingereza Bobby Robson bado angekuwa haibilashaka angepata furaha sana kuona wachezaji wake wa zamani kwenye ya Barcelona wamegeuka ma kocha wazuri. Wachezaji 10 ambayo amechezea uwanja wa  Nou Camp wakati wa msimu wa 1996/1997

 Laurent Blanc

 Luis Enrique (kocha mpya wa Barca)
 
Guardiola (Bayern)  

Lopetegui (Porto)

Pizzi (Valencia)

Celades   

Ferrer (Cordoba)
 
Sergi (Huelva)
 
Abelardo (Gijon)
 
Bakero  (kocha wazamani wa Real Sociedad).



Hakuna maoni