wachezaji 23 wa Intamba Murugamba senior wameitwa
hii ndio listi ya wachezaji wa Intamba Murugamba ambao wameitwa ili kujiandaa mechi ya mtoano ya kugombania kombe ya Africa 2015 dhidi ya timu ya taifa ya Botswana. mazowezi imeanza tarehe 08/04/2014.listi imetolewa ni ya wachezaji 23 ya awali tu na pako wachezaji ambao kunauwezekano wasiwasili kwenye machi ya kwanza ila machi ya marudio watakuwepo.
wachezaji ambao wanasubiriwa kuja na kujiunga na wenzao ni hawa :
NDUWARUGIRA Christophe/ Mozambique
KWIZERA Pierre/ Cote Du Voire
wachezaji 10 ndio watakuja wakitokea nje ya nchi. tuwafahamishe kuwa baada ya liste 19 ya wachezaji wa nje iliyo itwa mbele, kunawachezaji ambao awatakuja kwajili ya sababu ambazo wameitaka radhi shirikisho na mashabiki wa Burundi kuwa wapo kwenye mambo mengi ya kujiandaa vyema na klabu zao na uhamisho pia. kama Mchezaji BIGIRIMANA GAEL, amesema kwamba awezi kuja kucheza mchezo wa awali kwasababu eko anajihandaa kuusu uhamisho wake kwenye klabu nyingi mwaka ujao, ila marudio atakuwa pamoja na warundi kwenye timu ya taifa.
wachezaji ambao awatakuepo kwenye hii pambano ya awali ni pamoja na
BIGIRIMANA GAEL , SAIDO BERAHINO , NAHAYO VALERY , JOHANE na KAZE GILBERT.
wachezaji ambao wanasubiriwa kuja na kujiunga na wenzao ni hawa :
NTIBAZONKIZA Saidi/ Pologne- Krakow
NDUWARUGIRA Christophe/ Mozambique
NSABIYUMVA Frédéric/Afrique Du Sud
KWIZERA Pierre/ Cote Du Voire
NZOKIRA Jeff/ Djiboutie
NDIKUMANA Yamin Selemani/ Albanie
HABARUGIRA David/Belgique
Lateef Elford Aliyu
Armel Junior DAGRAU /Canada – Québec
wachezaji 10 ndio watakuja wakitokea nje ya nchi. tuwafahamishe kuwa baada ya liste 19 ya wachezaji wa nje iliyo itwa mbele, kunawachezaji ambao awatakuja kwajili ya sababu ambazo wameitaka radhi shirikisho na mashabiki wa Burundi kuwa wapo kwenye mambo mengi ya kujiandaa vyema na klabu zao na uhamisho pia. kama Mchezaji BIGIRIMANA GAEL, amesema kwamba awezi kuja kucheza mchezo wa awali kwasababu eko anajihandaa kuusu uhamisho wake kwenye klabu nyingi mwaka ujao, ila marudio atakuwa pamoja na warundi kwenye timu ya taifa.
wachezaji ambao awatakuepo kwenye hii pambano ya awali ni pamoja na
BIGIRIMANA GAEL , SAIDO BERAHINO , NAHAYO VALERY , JOHANE na KAZE GILBERT.
Jina ya wachezaji | klabu/nchi |
BIHA Omar | Vital’o /Burundi |
ARAKAZA Mac Arthur | Flambeau de l’Est/Burundi |
RUGUMANDIYE Yvan | Athletico Olympic /Burundi |
MBANZA Hussein | Inter Stars /Burundi |
JUMAPILI Iddy | Vital’o /Burundi |
RASHID Léon | LLB Academic /Burundi |
NKURIKIYE Léopold | Inter Stars /Burundi |
NDIKUMANA Yussuf | LLB Academic /Burundi |
MOUSSA Mossi | Vital’o /Burundi |
NZIGAMASABO Steve | Vital’o /Burundi |
NDARUSANZE Claude | LLB Academic /Burundi |
NAHIMANA Shasiri | Inter Stars /Burundi |
KAVUMBAGU Didier | Azam Tanzania |
NDAYISENGA Fuadi | Rayons Sports /Rwanda |
AMISSI Cédric | Rayons Sports /Rwanda |
NIZIGIYIMANA Abdul Karim | Rayons Sports /Rwanda |
SHABAN Hussein | Flambeau de l’Est /Burundi |
TAMBWE Amissi | Simba sports /Tanzania |
MURUTABOSE Hemedi | Les Guêpiers du Lac /Burundi |
RUGONUMUGABO Stéphane | LLB Academic /Burundi |
HAKIZIMANA Issa | LLB Academic /Burundi |
KIZA Fataki | LLB Academic /Burundi |
HAKIZIMANA Pascal | Flambeau de l’Est /Burundi |
Post a Comment