MISHE-BOY

tizama orodha ya wa kocha wa ma golikipa wanao pata mafunzomataifa


ni mpango muzima wakuwapa mafuzo bahadhi ya wa kocha wa hapa nchini Burundi.  stage yenyewe imeanza  tarehe 19 mpaka tarehe 24/05/2014. kuna bahadhi ya wachezaji walio pata sifa nyingi hapa nchini na nje ya nchi kwa sasa wamestaff na wameingia kwenye mafunzo ya ukocha hapa namzungumuzia kama VLADIMIR , amekuwa golikipa wazamani wa Intamba na amecheza kwenye bahadhi ya klabu za Tanzania na pia golikipa wazamani wa Vital'o Amidou Hassan, wote hawo wapo kwenye hii orodha 
NIYONKURU  VLADIMIR
ebu tizama orodha kamili ya wa kocha ambao wanapata stage ya kimataifa


1.    NDIKUMANA BAKARI
                                     2.    PETER   ISMAIL
      3.    BIGIRIMANA JEAN CLAUDE
      4.    MANIRAKIZA  ERICM’BAYA
   5.    BIMENYIMANA  ROBERT
6.    BIPFUBUSA METHODE
                                     7.    NGEZE SULEYMAN
8.    MUHIMPUNDU RASHID
                                    9.    ALI KHALFAN
10.  NIYONKURU  VLADIMIR
  11.  NIYIBIMENYA   DANIELLA
                                   12.  NIMBONA   MARTINE
 13.  NDAYIRAGIJE    ETIENNE
                                   14.  MWAMBA   ALBERT
15.  KAZADI   MWILAMBWE
                                    16.  NIMUBONA THIERRY
17.  RUGERAMIGAB RICHARD
18.  NDIKUMANA    MADJIDI
           19.  MTAMAGIRO   FUNDI  MORISHO
              20.  NDAYIZEYE    MWANZA ADOLPHE
21.  SAMUEL         GAUTIER
22.  NZEYIMANA    MAILO
23.  NDAYISENGA   ONESIME AIME
                              24.  NGABONZIZA   DIOMEDE
  25.  NDIKUMANA   JEAN  CHRISTOPHE
      26.  NDUWANTARE   ISMAIL  JEAN  MARIE
                             27.  ISMAIL MATATA
28.  NIYONZIMA   KHALIDI
     29.  NIYONZIMA     DOMINIQUE
30.  MUPENDA      MOHSIN
31.  AMIDOU          HASSAN
32.  IRAMBONA     MASSOUD


 

Hakuna maoni