tizama wachezaji 19 warundi walio itwa,ni wachezaj wanao cheza mpira wa kulipa sehemu mbalimbali
hii ndio orodha kanuni ya wachezaji 19 walio itwa na Timu ya Taifa
1. NTIBAZONKIZA Saidi / Pologne
kwa upande wa NTIBAZONKIZA Saidi yeye ni kawaida kuichezea timu yake ya taifa na jina mahafu mashabiki wanamuita ni Messi du Burundi (messi wa Burundi) amekwisha saidia sana nchi yake kisoka na mengine.
2. BERAHINO Saido / Angleterre
kwa BERAHINO Saido ni mara yake ya kwanza endapo atawasili hapa nchini kwamaana amekwisha onesha uwezo wakuja kuichezea nchi yake. na ni mchezaji wa Westbrom ya Uingereza.
3. BIGIRIMANA Gaël / Angleterre
kwa BIGIRIMANA Gaël ni mara yake ya kwanza endapo atawasili hapa nchini kwamaana amekwisha onesha uwezo wakuja kuichezea nchi yake. na ni mchezaji wa Newcastle ya Uingereza.
4. NDIKUMANA Yamin Selemani /Albanie
5.NAHAYO Valery / Belgique
6. HABARUGIRA David /Belgique
HABARUGIRA David ni beki hatari wa FC Brussels na amewahai kupata mafunzo kwenye club ya Anderlech pamoja na beki mahafu wa Man city Kompany.
7. KWIZERA Pierre / Côte d’Ivoire
8.Papy Faty / Afrique du Sud
9.NSABIYUMVA Fréderic/ Afrique du Sud
10. NDUWARUGIRA Christophe / Mozambique
11. TAMBWE Amissi / Tanzanie
12. KAVUMBAGU Didier / Tanzanie
13. KAZE Gilbert / Tanzanie
14. NIZIGIYIMANA Abdoul Karim / Rwanda
15. NDAYISENGA Fouadi / Rwanda
16. NIZEYIMANA Johane / Portugal
17. IRAKOZE Filose/ Suède
18.NZOKIRA Jeff / Djibouti
amefanya siku nyingi sana aitwi kwenye timu ya taifa Intamba Murugamba, ila kwa sasa kwa kipaji chake kudhiririka kwenye timu ya A.S.S. Djibouti Telecom kwa kuchukuwa kombe mara mbili na kupata zawadi ya golikipa bora misimu miwili na kwa sasa ni double man kwa jina maharufu nchini Djiboutie.ameitwa tena kwenye hii orodha ya huu mwaka na kufurahisha wapenzi wa soka mbalimbali ambao wamekuwa wanapiga kelele na kutaka wamuone kwenye timu ya taifa.
19. amissi Cedrick/ Rwanda
ukitizama listi hii, inatisha sana ki ivo na inatupa imani kubwa kwamba timu ya Taifa itaweza kufanya vizuri sana na kufika mbali endapo kocha akiwapanga vizuri na kupata mazowezi ya kutosha kwajili wazoweyane.
Burundi Fleva inaitakiya timu ya taifa kila la kheri.
Post a Comment