MISHE-BOY

Vital'o: tambwe Amissi amesajaliwa Dar


  kwa habari tunazo leo ni kuwa mchezaji wa vital'o ya Burundi pia mchezaji wa taifa ya Burundi, Tambwe Amissi amesajiliwa na klabu ya Simba, tuwa fahamishe kuwa amekuwa
Mfungaji bora wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati mwaka huu, Amisi Tambwe wa Vital’O ya Burundi, jioni hii amesaini Mkataba wa miaka miwili kuichezea Simba  ya jijini  Dar es Salaam. Tambwe amesaini ofisini kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe mbele ya Katibu wa timu hiyo, Evodius Mtawala…
Tambwe ameiongoza Vital’O kutwaa taji la kwanza la Kagame mwaka huu katika michuano iliyofanyika nchini Sudan na pia akiibuka mfungaji bora wa mashindano hayo kwa mabao yake sita. Na huyo pia ndiye mfungaji bora wa Ligi Kuu ya Burundi na mshambuliaji chaguo la kwanza katika timu ya taifa ya hapa nyumbani Burundi (Intamba Murugamba).basi tunamatakia mchezaji wetu kila la heri na mafanikiyo
mema uko tanzania.



Hakuna maoni