nimahamuzi ya FIFA kwa timu ya Togo,Uamuziiliahirishwana hatimaye imetimia na FIFAimeamuwa kukatapointi tatutimu ya Togo katikakufuzu Kombe laDunia 2014 nchini Brasilia.wameshutumiwa kuchezesha mchezaji wao Jacques – Alaixys Romao,ambaye alikuwachini yakusimamishwa,dhidi yaCameroonmwezi Juni, tuwafahamishe kuwa Togo imeifunga Cameroun (2-0) ila ivi Cameroun imechukuwa na fasi ya kwanza kwa kundi yao kabla awaja kumbana na Libya mchezo wa mwisho, Kumbuka, hata hivyo, kwamba kunauhakika juu yamechi hiimnamo Septemba 9kutokana na kusimamishwana Cameroon endapo wa FIFA ikikata rufaa ya Cameroon kusimamishwa kwa kila mchezo wa FIFA basi itapelekeya walibya kutawaziwa wa kwanza katika iyo kundi na kufuzu kombe la Dunia 2014.
Post a Comment