MISHE-BOY

Togo inafungiwa na Fifa

timu ya Togo
nimahamuzi ya FIFA kwa timu ya Togo,Uamuzi iliahirishwa na hatimaye imetimia na
FIFA imeamuwa kukata pointi tatu timu ya Togo katika kufuzu  Kombe la Dunia 2014 nchini Brasilia.wameshutumiwa kuchezesha mchezaji wao Jacques – Alaixys Romao,ambaye alikuwa chini ya kusimamishwa, dhidi ya Cameroon mwezi Juni, tuwafahamishe kuwa Togo imeifunga Cameroun (2-0) ila ivi Cameroun imechukuwa na fasi ya kwanza kwa kundi yao kabla awaja kumbana na Libya mchezo wa mwisho,
Kumbuka, hata hivyo, kwamba kuna uhakika juu ya mechi hii mnamo Septemba 9 kutokana na kusimamishwa na Cameroon endapo wa FIFA ikikata rufaa ya Cameroon kusimamishwa kwa kila mchezo wa FIFA basi itapelekeya walibya  kutawaziwa wa kwanza katika iyo kundi na kufuzu kombe la Dunia 2014.
Jacques – Alaixys Romao

Jacques – Alaixys Romao
 

Hakuna maoni