MISHE-BOY

hali ya mandela si mbaya sana


Aliyekuwa rais wa Afrika Kusini Nelson Mandela, alikuwa hospitalini katika hali mbaya kwa siku kumi, mateso kidogo sana, alisema Alhamisi mke wake Graca Machel.
mke wake amezidi kusema '' Imekuwa ni  siku 25 tupo tu  hospitalini. Ingawa Madiba (Mandela) amekuwa anaumwa ila hali yake imekuwa  nzuri kidogo sana, ila yupo salama, kulazwa kwake hospitalini ni fursa ya kuunganisha Afrika ya kusini tena.Graça Machel, ambaye alitumia muda wake mwingi katika kichwa cha mtu mkubwa tangu kulazwa kwa mme wake tangu  Juni 8.



 Waafrika Kusini na raia wa dunia pia ni mwenyeji wa kuzidisha matendo mema wakati ujao, "Siku ya Mandela" Julai 18, siku ya shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi atasherekeya sikuku yake ya kueneza miaka 95.
ni bahazi ya watu na waandishi wa habari kuzungumza mengi kuhusu ungojwa wake wakati yeye pekee yake na Mke wake kuakisha kuwa yupo salama.
MANDELA NA Mkewe

Hakuna maoni