historia ya ligi kuu ya bujumbura
kwa maombi ya mashabiki wa blog hii wamekuwa wanaomba kujua historia ya ligi kuu ya hapa nchini Burundi, basi wapenzi wasikilizaji na wasomi pia ninaimani mtaelewa nakuwa na historia ya ligi hii kubwa ya hapa nyumbani.
tuhanze katika mwaka wa:
tuhanze katika mwaka wa:
- 1972: Burundi Sports Dynamic (Bujumbura)
- 1973: Burundi Sports Dynamic (Bujumbura)
- 1974: Inter FC (Bujumbura)
- ila katika miaka tatu ligi aikuchezeka yaani mu mwaka wa 1975, 1976, 1977
- 1978: Inter FC (Bujumbura)
- 1979: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1980: Prince Louis FC (Bujumbura)
- 1981: Prince Louis FC (Bujumbura)
- 1982: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1983: Fantastique (Bujumbura)
- 1984: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1985: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1986: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1987: Inter FC (Bujumbura)
- 1988: Inter FC (Bujunbura)
- 1989: Inter FC (Bujumbura)
- 1990: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1991: InterStar (Bujumbura)
- 1992: Vital’O FC (Bujumbura) na katika mwaka wa 1993 ligi aikuchezeka kwajili ya usalama mdogo wa nchi.
- 1994: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1995: Fantastique (Bujumbura)
- 1996: Fantastique (Bujumbura)
- 1997: Maniema
- 1998: Vital’O FC (Bujumbura)
- 1999: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2000: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2001: Prince Louis FC (Bujumbura)
- 2002: Muzinga (Bujumbura)
- 2004: Atletico Olympique FC (Bujumbura)
- 2005: InterStar (Bujumbura)
- 2006: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2007: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2008: InterStar (Bujumbura)
- 2009: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2010: Vital’O FC (Bujumbura)
- 2011: Atletico Olympique FC (Bujumbura)
- 2012: Vital’O FC (Bujumbura). timu inachukuwa usukani na kombe nyingi ni:
- 16:Vital’O FC (Bujumbura)
- 5: Inter FC (Bujumbura)
- 4: InterStar (Bujumbura)
- 3: Fantastique (Bujumbura), Prince Louis FC (Bujumbura)
- 2: Atletico Olympique FC (Bujumbura), Burundi Sports Dynamic (Bujumbura)
- 1: Maniema, Muzinga (Bujumbura)na ivi karibuni vital'o fc imechukuwa kombe la cecafa kwa mara ya kwanza timu ya hapa nchini Burundi kuchukuwa kombe ilo.
Post a Comment