kocha wa mpya Gerardo Martino (Tata), ni mu Argentina inasemekana kama ni Messi ndiye amewalazimisha viongozi wa klabu ya Barcelona kumusajili kocha uyo alie murudilia kocha wazani wa klabu ya Barcelona Tito Vilanova. na kocha uyo ametamka kuwa ulinzi bado ni mbovu sana katika hio klabu na amepeleka maombi yake kwa viongozi wa klabu ya kuwa wasajili wachezaji ata wa wili wa ulinzi (defenseur).na timu aina budi kusikiliza malalamiko yake kwajili wamekwisha fanya itihada nyingi baada ya uhamisho wa Thiago Silva, David Luiz, Marquinhos kufeli , basi kocha mpya Tata anashuhudiwa kurebebisha kasoro hii na kumuleta beki wake wa Newell's Old Boys , SantiagoVergini.
Post a Comment