Burundi : Primus League B klabu mbili zimetambulika kupanda daraja la kwanza
Katika wiki yake ya 14 ya Ligi kuu Primus League imechezwa jana na
tayari klabu mbili zimepanda daraja ni pamoja na Les Lieres FC ya
Bujumbura pamoja na Musongati FC ya Mkoani Gitega klabu ya Babe Ngoy
mchezaji wa zamani wa Royal FC na Atletico na Ndikumana Kudra almaarufu
Adudu mchezaji wazamani wa Flamengo na Prince Louis, imepanda daraja la
kwanza.
Rusizi FC ya Mkoani Chibitoke na Flamengo ya Bujumbura watacheza mechi
mbili ya awali na marudio, mshindi kati ya klabu izi mbili
zitashirikiana na Les Lieres na Musongati daraja la kwanza.
Rugofarm na Prince Louis zimeshuka daraja na zitacheza msimu ujao katika daraja la tatu.
Post a Comment