MISHE-BOY

hawa ndio wasani wa Burundi Fleva ambao wanatangaza jina zao kupitia ma vazi


Sat-b
wasani wachache sana ndio wameanza kutangaza jina zao kupitia mabidha mbali mbali na kuonesha njia nzuri ya mashabiki wao kuzidi kuwapenda uku wakivalia kofea, shati, mipira za kuvaa na mengine.
tukumbuke kuwa show yake Sat-b ambayo imeitwa Satura amabafle imekuwa ya kupendeza sana uku akiuza nguo zake ikiwa na jina lake na ndio maana wasanii wengine waliona ni njia nzuri ya kutangaza jina zao na kazi zao kwa mashabiki.

tumezowea kuona nchi za nje tu wasanii wakifanya kama njia fulani ya kuleta changamoto kwa wapenzi wao, na nchini Tanzania, Congo, wasani wengi sana wamefanza kama njia ya kuwatangaza uku ikiuzwa sokoni na mahali pote.
hii ni kazi kubwa sana ambao wasani wa Burundi Fleva wanazidi kuonesha ilimradi tu wapate chochote na jina zao zizidi kusikika mahali pote.
baada ya Sat-B msani Kebby Boy naye amefata mfano wa Sat-b kutowa mipira za kuvaa ikiwa na logo ya jina lake.
Mkombozi na Dj Pro nawo kwasasa ndio wamezinduwa mipira za kuvaa na makepia ikiwa na logo ya jina zao, ebu tizama gisi zinavyo pendeza na kuonesha namna gani wanaweza sana.
Dj Pro
 mipira za Dj Pro zitazinduliwa ivi karibuni tu na zitakuja moja kwa moja na nyimbo zake 3 ambao moja ya kazi yake inakuja kwa jina la Maisha na Music, kwa mjibu wa mtu wakaribu wa msani Dj Pro amesema kwamba nyimbo izo zitakuja kwa mvuto fulani zitakao mfanya msanii Dj Pro akubalike tena nje ya nchi baada ya video yake kuchezwa nchini Ufaransa.

hii ni Kazi kubwa yake Mkombozi

Hakuna maoni