usajili barani ulaya
fanck tabanou |
Swansea timu ya ungereza inataka kumusajili Mubarak wakaso, ni mchezaji wa kimaifa ya Ghanan na inapelekeya pande zote 2 yaani kati ya SWANSEA na Espagnol kufikiya makubaliano. kiwango cha usajli wake ni milioni 4.
coach wa tottenham amempigia simu David Villa ki binafsi kwajili aweze kujiunga na timu yake ya Spurs, ifahamike kuwa mchezaji anabakiza musim mmoja tu na timu yake ya Barcelone na anapendelea kuyihama kwajili anaona awezi kupewa mda murefu wa kucheza, ni timu nyingi ziko mbioni kumunasa ikiwemo na Florentina, Arsenal, liverpool na Tottenham.
usajili wa Mario Gomez imetibishwa na manager wake Uli Ferber kwamba Mario amechanguwa yeye pekee yake kuelekeya Italia katika timu ya Florence, uku imekuwa inabaki nimahamuzi yake yakuchaguwa mahali ataelekeya, na timu nyingi zilikuwa zina mutaka ikiwemo Chelsea, na kiwango cha ushajili wake akijafahamoika
Altintop ame saini myaka 2 katika timu ya FC Augsturg na amekubali kurudi katika ligi ya bundesliga inchini Ujerimani na amesema: najsikia vizuri sana kurudi kuchezea bundesliga.
Post a Comment