MISHE-BOY

Sport | Matokeo NA MSIMAMO kamili ya CAN2019 katika wiki yake ya pili

Michezo ya kuwania kufuzu Kombe la Mataifa Afrika Can2019 nchini Cameron, wiki ya pili ya michuano hiyo ilifanyika wiki hii. Hapa ni matokeo na msimamo wa mda wa muzunguuko wa pili, kama kumbusho tu, wawili wa kwanza katika kila kundi watapata fursa ya kufuzu na kushiriki michuano hiyi na kujielekeza nchini Cameroon  kwa fainali ya Kombe la  Mataifa Afrika, CAN2019.

Cameron itafuzu moja kwa moja kama nchi wenyeji lakini bado inashiriki michezo ya kuwania kufuzu Kombe hiyi. Ikiwa Cameron ikimaliza ya kwanza katika kundi lake, wa 2 ndie atafuzu nafasi yake na kama ikimaliza ya 2, 3 au 4 ni wa kwanza ndiye atathibitisha tiketi yake pamoja naye.

MATOKEO KAMILI YA WIKI YA PILI 

KUNDI A:
Madagascar 2-2 Senegal 
Guinea ya Equatorial 1-0 Sudan 

KUNDI B :
Morocco 3-0 Malawi 
Comoros 1-1 Cameroon 

KUNDI C:
Gabon 1-1 Burundi 
Sudan Kusini 0-3 Mali

KUNDI D:
Gambia 1-1 Algeria 
Togo 0-0 Benin 

KUNDI E:
Seychelles 0-3 Nigeria 
Afrika Kusini 0-0 Libya 

KUNDI F:
Kenya 1-0 Ghana 
Ethiopia 1-0 Sierra Leone

KUNDI G:
Congo 1-1 Zimbabwe 
Liberia 1-1 DR Congo

KUNDI H:
Rwanda 1-2 Ivory Cost
Guinea 1-0 Jamhuri ya Afrika ya Kati

KUNDI I:
Angola 1-0 Botswana 
Mauritania 2-0 Burkina Faso

KUNDI J :
Misri 6-0 Niger 
Swaziland 0-2 Tunisia

KUNDI K:
Namibia 1-1 Zambia 
Msumbiji 2-2 Gine-Bissau 

KUNDI L:
Lesotho 1-1 Cape Vert
Uganda 0-0 Tanzania


MSIMAMO KAMILI 



Hakuna maoni