MISHE-BOY

Sport | Yaya Touré ataja wachezaji bora kumi na moja wa kombe la Dunia


Akiwa huru ya mkataba tangu mwishoni wa msimu huu huko Manchester City, Kiungo wa Ivory Cost, Yaya Touré atakuwa mchambuzi wa soka wa France Football katika Kombe la Dunia nchini Urusi.

Kiungo wa zamani wa FC Barcelona ameweka wazi pendekezo yake kwa kutaja wachezaji kumi na moja bora kwa Kombe la Dunia, itakayoanza rasmi siku ya alhamisi huko Urusi. Katika timu yake hiyo hakuna wachezaji wa kiafrika, kati ya nchi tano waliohitimu kwajili ya mashindano hayo.

Kumi na moja bora  ya Yaya Touré  kwa Kombe la Dunia nchini Urusi:

David De Gea - Kyle Walker, Raphael Varane, Sergio Ramos, Benjamin Mendy - Luka Midric, Casemiro - Lionel Messi, Sergio Aguero, Kylian Mbappé, Cristiano Ronaldo.

Hakuna maoni