New | Tayari Director wa Hello ya Best Life afahamika
Kundi la Muziki ya Burundi Fleva, Best Life ambao inazidi kufanya
vizuri kwenye ulimwengu wa muziki wa kizazi kipya, ilitangaza tarehe
rasmi ya uzinduzi wa video ya wimbo wao mpya ”Hello” hivi karibuni.
Baada ya kuachia lyrics ya wimbo ”Hello” kilicholeta mashaka na
wapenzi wa burudani hapa nchini kwa kufikiria labda ndio mwisho
hawatapata video ya wimbo huwo mzuri. Kundi la Best Life Music hivi
karibuni hitarajia kuachia video ya wimbo yao ”Hello” ambayo inatarajiwa
kuwa mitaani kuanzia tarehe 10 mwezi Februari kuwa kuondoa shaka kwa
wapenzi wa muziki.
NGM257 ilipata fursa ya kuongea na msimamizi wa kundi hilo, Kent P
ambapo alidai kuwa Video imekwishakamilika kinachosubiriwa ni mda wa
kuitupa marikiti kwani inaaminiki kuwa mashabiki wana kiu kubwa sana kuona
kazi nzuri kutoka kwa watoto wa Burundi.
Wengi wamezowea kuona video ya kundi hili ikisimamiwa na director
Kent P, kwa ujio huu mpya wa video hiyi, director ametambulika kwa mjibu
wa Kent P akisema :
”Imeshazoeleka kuwa mapanga ndio staili
bora kabisa nchini hasa unapolitaja kundi la Best Life Music lakini
safari hii wanakuja na staili mpya ili kuonesha kuwa sisi hatupimiki
tumeamua kuja na staili mpya kabisa za muonekana na kufanya video za
kimataifa pamoja na director mkubwa ambae bila shaka wengi wanamfahamu
ni Sasha Vybz kutoka Uganda, mbali na hiyi video nyingine kibao
zitakuwa ni surprise kwa mashabiki'”. Alisema msemaji wa kundi best Life Music, Kent P.
Tuwakumbushe kuwa mpaka sasa Kundi hili wanatamba na ngoma zao zinayobeba jina la ” Hello, Your Vodo pamoja na Overdose”.
Post a Comment