MISHE-BOY

classico inchini Djibouti, Nzokira Jeff kapongezwa sana

Nzokira Jeff

kwa mujibu wa ripota wetu anae mufatilia mchezaji Nzokira Jeff  nchini Djibouti, ametufahamisha kuwa hii leo pamekua mechi kali sana na inayo vutia watu wengi wapenzi wa soka nchini Djibouti ni dhidi ya Garde Republicain Fc na  A.A.S. Djibouti Telecom ya mchezaji Nzokira Jeff wa hapa nyumbani  (goli kipa) wa zamani wa klabu ya Vital'o Fc na mwenzie Andosango Freddy aliye kuwa mchezaji wa zamani wa Lydia Lidic Academic.
Garde Republicain Fc
A.A.S. Djibouti Telecom
ni klabu mbili babe sana na kila upande wao wamekua wamekwisha jifungia mechi zote za ligi kuu ya Djibouti na mechi yao imekuwa inamuvuto mukubwa na imefurahishwa sana na wapenzi wa soko.
kila mara wakipambana wapenzi wa soka wa nchini Djibouti huwa wanaipa jina ya Classico.
timu ya A.A.S. Djibouti Telecom ikisherekea ushindi wao wa classico
magazeti mengi ya nchini Djibouti imewapongeza sana wa chezaji wa wili warundi na ni goli kipa Nzokira Jeff na Andosango Freddy, inapelekeya Nzokira Jeff atateuliwa tena goli kipa wa kwanza kwajili ndie anae onekana bora sana kwa umahiri wake na hii classico ameoko mabao nyingi na ikapelekea timu yake kuibuka mushindi wa mabao 3 kwa 1 na katika mabao ayo ma 3 ya A.A.S. Djibouti Telecom, mchezaji Andosango amefunga bao moja na kukamilisha mabao ma tatu  yakwake kwenye mechi 4 na wakiwa na pointi 12 na kushika nafasi ya kwanza kwenye musimamo wa ligi kuu ya Djibouti.
Andosango Freddy

Hakuna maoni