MISHE-BOY

UEFA : Maajabu ya UEFA katika kikosi cha Timu Bora mwaka 2018


Ijumaa hii, UEFA ilitangaza kikosi cha timu yake bora ya mwaka 2018 yenye kura 168,543 kwa watumiaji wa Internet. 

Licha ya mchezaji wa kimataifa wa Misri Mohamed (Salah Liverpool) na Senegal Sadio Mané (Liverpool) hata beki Kalidou Koulibaly (Naples) kufanya vizuri mwaka 2018 na kuwa kati ya wachezaji waliochaguliwa na Caf Awards ila wakosekana katika orodha ya kumi na moja bora ya UEFA.

Hakuna mchezaji wa Afrika aliyeorodheshwa katika kumi na moja hiyo huku Varane na Van Dijk wapata nafasi na kumtupilia mbali Koulibaly wakati Mbappé, Messi, hazard na Ronaldo waorodheshwa na kumtupilia mbali Salah mchezaji aliyechukua nafasi ya 6 ya Ballon d'Or, haya ni maajabu.


Tumu Bora ya UEFA mwaka 2018 : Ter Stegen - Ramos, Varane, Van Dijk, Marcelo - Kante, Modric - Hazard - Messi, Mbappé, Ronaldo.


Hakuna maoni