MISHE-BOY

Sport | Ma Staa wa muziki waliosapoti timu ya taifa Intamba dhidi ya Mali

Ma Staa wa muziki wa Buja Fleva tulio bahatika kuwaona kwenye uwanja mkuu wa Mwana Mfalme Louis Rwagasore mjini Bujumbura wakiisapoti timu yao ya taifa Intamba Murugamba ikicheza dhidi ya Mali ni pamoja Big Fizzo, Sat B, Double Jay na Gaga Blue wakishuhudia mechi ya kuwania kufuzu Kombe la Kimataifa la Afrika CAN2019, wakiwa kwenye sehemu tu ya kawaida kuliko kuketi jukwaa kuu kama ilivyokuwa kwa viongozi na kwa ma staa wenzao.

Pia alikuwepo nahodha wa timu ya taifa Yamin Seleman na Lule Birhof wakishuhudia mchezo huwo, Seleman hakucheza kwasababu ya majeraha.















Hakuna maoni