MISHE-BOY

Sport | Nyota wa Chibuto FC ajiunga na klabu ya Zambia


Msambuliaji wa kimataifa wa BurundiJuhainy Uthuman Cheikh amejiunga na klabu ya  Zambia inayoshiriki michuano ya Ligii Kuu ya Zambia kutoka Chibuto FC.

Chibuto Fc ya Mozambique imemuuza Juhainy Uthuman Cheikh kwa klabu ya NAPSA STARS UNITED, akisaini mkataba wa miezi sita (6), klabu imesema katika taarifa yake.

Juhainy Uthuman Cheikh amesema pendekezo ya Napsa United  hangeweza kuikataa na amefurahi kuona klabu imekubali ombi lake la kusaini mkataba wa miezi 6  tu.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Burundi tayari amekwisha shiriki mechi mbili ya kirafiki na klabu yake mpya, nakufunga bao tatu (3), kwasasa anakua miongoni mwa wachezaji wa Burundi kuelekea Zambia baada ya kiungo wa Messager Ngozi, Enock Nsabumukama na Dieudonne Ntibahezwa  walipojiunga na Zesco United.













Hakuna maoni