MISHE-BOY

Sport | Hizi ndio nchi pekee zilizochaguliwa na CAF kuandaa Mashindano miaka 4 ijayo


Ijumaa iliyopita kuna mkutano uliyofanyika katika kamati ya utendaji huko Sharm El Sheikh, Misri Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limechagua nchi itakayo andaa mashindano kadhaa yatakayo tokea miaka 4 ijayo.

Soma hapa maelezo kamili :

CAN  ya Wanawake 2020: Kongo Brazzaville

CAN Futsal 2020: Morocco

CAN U20 2021: Mauritania

CAN U17 2021: Moroko

CHAN 2022: Algeria


Mashindano ambayo tayari yalitolewa:

CAN 2019 (15 Juni-13 Julai): Kamerun (CAF itatangaza "mwishoni mwa Novemba" ikiwa Kameruni inachukuliwa kama nchi mwenyeji)

CAN 2021: Ivory Coast

CAN 2023: Guinea

CAN ya Wanawake 2018: Ghana (Novemba 17 hadi Desemba 1)

Beach Soccer 2018 CAN: Misri (Desemba 8-14)

CAN U23 2019 : Egypte (Misri)

CAN U20 2019  : Niger

CAN U17 2019 : Tanzania

CHAN 2020 : Ethiopia

Hakuna maoni